The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kwa mara ya kwanza najipata sijui pa kwenda ndani ya Mombasa baada ya kumpumzisha Ndugu yangu Ahmed Darwesh. Bendenge na wira Ndio jina letu la utani hakika nitakupeza. Jana katika hospitali ya The Mater, Msikiti wa South C, Angani tukikurejesha nyumbani na ndani ya kaburi nikikupokea kukulaza nilikua najiuliza maswali chungu nzima.
Leo hii siamini. Siamini hatutapiga Gumzo, siamini hatutazungumzia maisha yetu ya kila siku, siamini kwamba sitaweza kukupigia simu licha ya Kuwa na nambari zako zote. Darwesh sina Raha nakuombea manani akusamehe dhambi zako zote na ailaze roho yako mahala pema panapolazwa wema. Kwa marafiki wote waliojitokeza nasema asante.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.