×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Daru tumelia wengi~ Mohammed Ali

Kwa mara ya kwanza najipata sijui pa kwenda ndani ya Mombasa baada ya kumpumzisha Ndugu yangu Ahmed Darwesh. Bendenge na wira Ndio jina letu la utani hakika nitakupeza. Jana katika hospitali ya The Mater, Msikiti wa South C, Angani tukikurejesha nyumbani na ndani ya kaburi nikikupokea kukulaza nilikua najiuliza maswali chungu nzima.

Leo hii siamini. Siamini hatutapiga Gumzo, siamini hatutazungumzia maisha yetu ya kila siku, siamini kwamba sitaweza kukupigia simu licha ya Kuwa na nambari zako zote. Darwesh sina Raha nakuombea manani akusamehe dhambi zako zote na ailaze roho yako mahala pema panapolazwa wema. Kwa marafiki wote waliojitokeza nasema asante.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in