The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hata kabla ya 2017 kufika, wanasiasa wameanza kujipigia debe na kujitapa hadharani pasi na kutimiza ahadi zao kwa wapiga kura. Joto la kisiasa linalotanda nchini inasambaratisha maendeleo na utendakazi hivyo basi Wakenya watazidi kubakia katika lindi la umaskini. Ubishi kati ya Seneti na Bunge ni dhihirisho tosha kuwa viongozi tuliowachagua wana ubinafsi.
Wabunge wamekuwa joka la mdimu kwa kuzima juhudi za maseneta kujipatia fedha ili kuimarisha jukumu lao la uangalizi wa utendakazi wa serikali za kaunti, Aidha,ukweli wa methali kila mwamba ngozi huvutia kwake umedhihirika kwa sababu wamejitengea bilioni 35 za Hazina ya Maendeleo ya Maeneobunge (CDF) hata baada ya marufuku ya hazina hiyo kutangazwa na mahakama.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.