Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Punguzeni domo domo na vimaneno visivyofaa

Hata kabla ya 2017 kufika, wanasiasa wameanza kujipigia debe na kujitapa hadharani pasi na kutimiza ahadi zao kwa wapiga kura. Joto la kisiasa linalotanda nchini inasambaratisha maendeleo na utendakazi hivyo basi Wakenya watazidi kubakia katika lindi la umaskini. Ubishi kati ya Seneti na Bunge ni dhihirisho tosha kuwa viongozi tuliowachagua wana ubinafsi.

Wabunge wamekuwa joka la mdimu kwa kuzima juhudi za maseneta kujipatia fedha ili kuimarisha jukumu lao la uangalizi wa utendakazi wa serikali za kaunti, Aidha,ukweli wa methali kila mwamba ngozi huvutia kwake umedhihirika kwa sababu wamejitengea bilioni 35 za Hazina ya Maendeleo ya Maeneobunge (CDF) hata baada ya marufuku ya hazina hiyo kutangazwa na mahakama.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News