×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Ruto ni mtu wa hasira nyingi, Kalonzo asema

Wandani wa mgombea wa urais wa Chama cha Azimio, Raila Odinga wameendeleza shutuma zao dhidi ya mshinadni wao William Ruto wa UDA,  na kumtaja kuwa kiongozi mwenye hasira hivyo basi hafai kuongoza taifa.

Akizungumza wakati wa misururu ya kampeni za kumtafutia Odinga kura hapa Jijini Nairobi, Kingozi wa WIPER Kalonzo Musyoka na Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni za Odinga, Gavana Laikipia Nderitu Mureithi wamemtaja Ruto na wandani wake kuwa wanafiki wanaondelea kuonesha hasira zao wazi licha ya kumshtumu Rias Kenyatta kwamba anamshambulia visivyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902