Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

SRC imeidhinisha malipo ya marupurupu ya mahitaji ya dharura kwa wahudumu wa afya

Wahudumu wa afya kote nchini sasa watapokea marupurupu ya mahitaji ya dharura baada ya Tume ya Kuratibu mishahara ya Wafanyakazi wa Umma SRC kuidhilisha malipo hayo, wakati waa taifa linakabili maambukizi ya virusi vya korona.

Katika Barua yake, Mwenyekiti wa SRC Lyn Mengich amesema hatua hiyo imeafikiwa baada ya mkutano uliofanywa Aprili tarehe 28 ambapo jumla ya shilingi bilioni tatu, milioni kumi na tatu na elfu mia tatu tisini zimeidhinishwa kwa malipo hayo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902