The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wahudumu wa afya kote nchini sasa watapokea marupurupu ya mahitaji ya dharura baada ya Tume ya Kuratibu mishahara ya Wafanyakazi wa Umma SRC kuidhilisha malipo hayo, wakati waa taifa linakabili maambukizi ya virusi vya korona.
Katika Barua yake, Mwenyekiti wa SRC Lyn Mengich amesema hatua hiyo imeafikiwa baada ya mkutano uliofanywa Aprili tarehe 28 ambapo jumla ya shilingi bilioni tatu, milioni kumi na tatu na elfu mia tatu tisini zimeidhinishwa kwa malipo hayo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.