Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwanaume auliwa Kwale kwa kushukiwa kuugua Korona

Mwanamume mmoja kwenye Kijiji cha Kubundani katika Kaunti ya Kwale ameuliwa baada ya kutuhumiwa kwamba ameathirika na Virusi vya Korona, kisa ambacho kimetokea usiku wa kuamkia leo.

Kulingana na taarifa iliyonakiliwa kwenye Kituo cha Polisi cha Diani, George Kotini Hezron ambaye alikuwa mlevi aliuliwa kilomita tatu kutoka eneo moja la burudani.

Ripoti hiyo imebainisha kwamba kotini alikutana na kundi la vijana lililoanza kumtuhumu kwamba anaugua ugonjwa wa Covid-19 baada ya ugomvi kuzuka baina yake na kundi hilo.

Baadaye, vijana hao walimshambulia kwa mawe na kumjeruhi vibaya na kufariki muda mfupi baadaye alipofikishwa katika Hospitali ya Msambweni. Kamanda wa Polisi wa Kwale Joseph Nthenge amesema msako dhidi ya waliotekeleza unyama huo unaendelezwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902