×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Maafisa zaidi wa Dci wafanyiwa uhamisho.

Zaidi ya maafisa mia moja wa polisi wanaohudumu katika afisi za Idara ya Upepelezi, DCI kote nchini wamefanyiwa uhamisho.

Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Upelelezi DCI, George Kinoti amesema maafisa mia moja ishirini na sita watatakiwa kuripoti kwenye vituo vyao vipya  kufikia tarehe mosi mwezi ujao.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

dci