The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kundi la Tangatanga likiongozwa na Gavana wa Kiambu, Ferdinand Waititu linahudhuria ibada ambayo imeyaleta pamoja makanisa kumi na matano katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Makutano kwenye Eneo Bunge la Cherang'any Kaunti ya Trans Nzoia.
Waititu ameandamana na Mbunge wa Bahati, Kimani Ngunjiru, mwenzake wa Endebess, Daktari Robert Pukose, Mwakilishi wa Kike kaunti, Janet Nangabo, aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Kipruto arap Kirwa na aliyekuwa Mbunge wa eneo hilo, Wesley Korir.
Kwenye mkutano huo siasa zinatarajiwa kutawala ikiwamo sakata ya dhahabu bandia na hatua ya Kinara wa Chama cha ODM, Raila Odinga kuweka wazi kwamba yeye ndiye aliyefichua sakata hiyo, mingoni mwa masuala mengine.
Ziara hiyo ya kundi hilo la tangatanga ni ya tatu kwa muda wa wiki tatu kwenye kaunti hiyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.