Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Kundi la Tangatanga linahudhuria ibada Cherang'any Kaunti ya Trans Nzoia

Kundi la Tangatanga likiongozwa na Gavana wa Kiambu, Ferdinand Waititu linahudhuria ibada ambayo imeyaleta pamoja makanisa kumi na matano katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Makutano kwenye Eneo Bunge la Cherang'any Kaunti ya Trans Nzoia.

Waititu ameandamana na Mbunge wa Bahati, Kimani Ngunjiru, mwenzake wa Endebess, Daktari Robert Pukose,  Mwakilishi wa Kike kaunti, Janet Nangabo, aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Kipruto arap Kirwa na aliyekuwa Mbunge wa eneo hilo, Wesley Korir.

Kwenye mkutano huo siasa zinatarajiwa kutawala ikiwamo  sakata ya dhahabu bandia na hatua ya Kinara wa Chama cha ODM, Raila Odinga kuweka wazi kwamba yeye ndiye aliyefichua sakata hiyo, mingoni mwa masuala mengine.

Ziara hiyo ya kundi hilo la tangatanga ni ya tatu kwa muda wa wiki tatu kwenye kaunti hiyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902