×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Uchaguzi wa viongozi wa Chama cha FORD Kenya unaendelea.

Uchaguzi wa viongozi wa Chama cha FORD Kenya  katika maeneo bunge yote kwenye Kaunti ya Trans Nzoia unaendelea.

Kwenye Eneo Bunge la Saboti uchaguzi huo umekamilika muda mfupi uliopita huku baadhi waliokuwa wakiwania nyadhifa mbalimbali akiwamo Elisha Khalai aliyewania nafasi ya mwenyekiti,  akielezea kutorishwa na uchaguzi huo na kwamba  majina ya baadhi ya wawaniaji yaliondolewa kwenye orodha ya wapigakura.

Hata hivyo msimamizi wa uchaguzi huo, kasisi John Okumu amesisitiza kwamba uchaguzi huo umekuwa huru na haki.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

ford kenya