×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Nitastaafu siasani iwapo nitashindwa 2022 -Ruto

Naibu wa Rais William Ruto amesema yu tayari kustaafu siasani iwapo atashindwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2022.

Aidha, Ruto amesema uongozi wa Chama cha Jubilee utajadili kuhusu atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang'inyiro cha urais vilevile nyadhifa nyingine za kisiasa. Vilevile, amesisitiza kwamba iwapo hatateuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho, atamuunga mkono yeyote atakayeteuliwa kwani si lazima awe debeni mwaka wa 2022.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Ruto 2022 Siasa