×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali imetakiwa kuimarisha usalama Marsabit kufuatia mauaji ya watu 11

Viongozi wa Kaunti ya Marsabit wametoa wito kwa serikali kuimarisha usalama kwenye eneo la Forole kufuatia kisa ambapo wafugaji 11 waliuliwa siku ya Jumatatu.

Inaaminika mauaji yao yalitekelezwa na maafisa wa polisi kutoka taifa jirani la Uganda waliovuka mpaka na kuingia nchini. Inaarifiwa wakati wa kisa hicho, polisi wa akiba kwenye eneo hilo walikuwa wamepokonywa silaha zao. Hii hapa kauli ya mmoja wa viongozi hao.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in