×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mauaji yakithiri Kakakega huku bawabu mwingine akiuliwa

Katika misururu ya visa vya mauaji kwenye Kaunti ya Kakamega, bawabu mwingine ameuliwa katika eneo la Maraba usiku wa kuamkia leo huku polisi wakisema kwamba huenda ni kisa cha uhalifu wa kawaida.

Kwa upande wake, Seneta wa Kakamega Cleopas Malala ameitaka idara ya polisi kuimarisha usalama huku akitowa wito kwa vituo vya polisi kwenye kaunti hiyo kupewa vifaa vitakavyowasaidia kutekeleza majukumu yao kikamilifu.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in