Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais kuzindua usajili wa mfumo wa NEMIS Jumanne kwenye kaunti ya Machakos

Shughuli ya uzninduzi wa usajili wa mfumo wa kuwasajili watu kidijitali yaani NEMIS itazinduliwa Jumanne na Rais Uhuru Kenyatta katika Kaunti ya Machakos. Leo Gavana wa Machakos, Alfred Mutua akiandamana na maafisa wa usalama wa Kaunti ya Machakos pamoja na wengine wa Ikulu wanatarajiwa kuzuru eneo la Mwala kaunti hiyo ambapo hafla hiyo itafanyika.

Rais Uhuru Kenyatta atazindua mfumo huo hapo kesho kutegemea na uamuzi ambao mahakama itatoa leo kufuatia kesi ambayo imewasilishwa na Tume ya Kutetea Haki za binadamu KHRC, Nubian Rights Forum na Kenya National Commission on Human Rights KNCR ikipinga kuzinduliwa kwa mfumo huo.

Makundi hayo matatu yanadai kuwa huduma namba haifai kutumika kumnyima Mkenya haki ya kupata huduma muhimu kulingana na katiba na kuwa watu wa asili ya Kisomali na wengine wa Nubia watatengwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

uhuru kenyatta