The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Shughuli ya uzninduzi wa usajili wa mfumo wa kuwasajili watu kidijitali yaani NEMIS itazinduliwa Jumanne na Rais Uhuru Kenyatta katika Kaunti ya Machakos. Leo Gavana wa Machakos, Alfred Mutua akiandamana na maafisa wa usalama wa Kaunti ya Machakos pamoja na wengine wa Ikulu wanatarajiwa kuzuru eneo la Mwala kaunti hiyo ambapo hafla hiyo itafanyika.
Rais Uhuru Kenyatta atazindua mfumo huo hapo kesho kutegemea na uamuzi ambao mahakama itatoa leo kufuatia kesi ambayo imewasilishwa na Tume ya Kutetea Haki za binadamu KHRC, Nubian Rights Forum na Kenya National Commission on Human Rights KNCR ikipinga kuzinduliwa kwa mfumo huo.
Makundi hayo matatu yanadai kuwa huduma namba haifai kutumika kumnyima Mkenya haki ya kupata huduma muhimu kulingana na katiba na kuwa watu wa asili ya Kisomali na wengine wa Nubia watatengwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.