×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Afisa wa Flying Squad auliwa Taita Taveta.

Afisa wa kitengo cha Flying Squad ameuliwa usiku wa kuamkia leo na washukiwa wa uhalifu mjini Taveta kwenye Kaunti ya Taita Taveta.

Afisa huyo alikuwa na wenzake wakati alipopigwa risasi na watu wawili ambao vilevile wamehusishwa na uhalifu uliotekelezwa mjini Mombasa na kunaswa katika kamera za CCTV.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

flying squad