Mtu mmoja amefariki kufuatia ajali katika barabara kuu ya Mombasa-Nairobi

Mtu mmoja amefariki kufuatia ajali katika barabara kuu ya Mombasa-Nairobi eneo la General Motors GM. Waliosughuia wanasema mwathiriwa aligongwa na gari lililokuwa likiendeshwa kwa kasi.

Maafisa wa polisi wamefika katika eneo la tukio ili kuuchukua mwili huku juhudi za kumtafuta dereva wa gari lililohusika kwenye ajali hiyo zikiendelea.

Related Topics