The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kinara wa Chama cha ANC, Musalia Mudavadi amechukua fursa ya kongamano la wataalam wa idara mbalimbali linalojulikana kama Future of Kenya Professionals ambalo limekamilika leo Jijini Mombasa, kuendelea kuonesha kukerwa kwake na suala la ufisadi ambao umeandama ujenzi wa miradi ya mabwawa ya Arror na Kimwarer kwenye Kaunti ya Elgeyo - Marakwet.
Mudavadi amesema ni jambo la kusitikisha kuona kwamba fedha zilitengewa miradi hiyo ilhali haijatekelezwa kufikia sasa. Ameeleza kugadhabishwa na jinsi ambavyo baadhi ya walioathiriwa na ujenzi wa miradi hiyo hadi sasa hawajalipwa fidia.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.