Daktari anayesemakana kujiua akiwa mafunzoni nchini Cuba Dkt Hamisi Ali atazikwa leo. Ali ambaye ni kakaye mbunge wa Likoni, Mishi Mboko atazikwa katika eneo la Shika Adabu eneo hilo la Likoni
Mazishi haya yatajiri wakati kifo chake kimesababisha kuangaziwa upya kwa maslahi ya madaktari takribana 50 waliotumwa kwa mafunzo nchini humo.