×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Matiang'i awahakikishia wakazi wa Lamu huduma bora

Waziri wa Masuala ya Ndani ya Taifa Daktari Fred Matiang'i, amesema  serikali kamwe haita wavumilia maafisa wazembe kuhudumu katika vitengo mbalimbali huku wananchi wakitaabika kutokana na utendakazi duni.

Kwenye kikao na wakazi wa Lamu mapema leo, waziri Matiang'i  amesema ni wajibu wa viongozi wa Serikali kutelezaji  majukumu  yao kwa mujibu wa sheria huku akisisitiza umuhimu wa ushiriano baina ya maafisa wa serikali.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics