×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Nanok awahamisha mawaziri 4

Gavana wa Kaunti ya Turkana, Josephat Nanok amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri huku mawaziri wanne wakiathirika. Jennifer Nawoi ambaye alikuwa Waziri wa Utalii, Utamaduni na Mali Asili amehamishwa katika Wizara ya Biashara , Jinsia na Vijana huku nafasi yake ikichukuliwa na Charles Ewoi Lokiyoto  ambaye awali alikuwa katika Wizara ya Usiamamizi wa Umma na Masuala ya Dharura.

Esther Lokiyo Lokwee  vileviel ameondolewa katika Wizara ya Ardhi na Miundo Msingi hadi wizara hiyo ya usimamizi wa umma na masuala ya dharura.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics