Moto umeteketeza zaidi ya ekari 150 katika msitu wa Maasai Mau kwenye mkasa wa kuanzia Jumatatu wiki hii. Inaarifiwa wakazi wanaoishi karibu na msitu huo wamelazimika kuhama baada ya moto huo kuteketeza baadhi ya nyumba zao.
Mwenyekiti wa Idara ya Misitu kwenye Kaunti ya Narok, Mwai Muraguri amesema moto huo ulianzia katika eneo la Olposimoru na kusambaa hadi maeneo la Olenguruone huku wanyamapori wakiathirika zaidi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading →
What you get
- Unlimited access to all premium content
- Ad-free browsing experience
- Mobile-optimised reading
- Weekly newsletters & digests
Pay via
M
-
PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments
Kenya's most trusted newsroom since 1902
Already a subscriber? Log in to continue
Follow The Standard on