×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Kasisi ashtakiwa rasmi kwa makosa ya kumtishia mwanahabari

Mhubiri wa Kanisa la Neno Evangelism, James Ng'ang'a ameshtakiwa kwa kumtishia maisha mwanahabari wa runinga ya Citizen, Linus Kaikai na kuachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki mbili.

Ng'ang' amefikishwa katika Mahakama ya Kiambu baada ya kuzuiliwa katika Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi - DCI, baada ya kukamatwa Jumapili wiki iliyopiya kwa kumtishia maisha Kaikai pamoja na kuchochea ghasia.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in