×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, Ndege aina ya 737 8 Max iliyoanguka ilikuwa na hitilafu?

Huku familia za watu 157 walioaga dunia wakisubiri kufunga ukurasa wa maombolezo kwa njia mbalimbali hofu waliyokuwa nayo wengi kuhusu kilichosababisha ajali hiyo ya ndege kimethibitishwa kufuatia vidokezo vya awali vya uchunguzi wa kifaa cha kunakili data za ndege kwa kiingereza Blackbox.

Kwa mujibu wa taarifa ya mmoja wa wachunguzi kuna mfanano mkubwa baina ya jinsi ajali hiyo ilivyotokea  na ile iliyohusisha ndege sawa na hiyo ya 737-8-Max  mwaka uliopita nchini Indonesia.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics