×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, Ndege aina ya 737 8 Max iliyoanguka ilikuwa na hitilafu?

Huku familia za watu 157 walioaga dunia wakisubiri kufunga ukurasa wa maombolezo kwa njia mbalimbali hofu waliyokuwa nayo wengi kuhusu kilichosababisha ajali hiyo ya ndege kimethibitishwa kufuatia vidokezo vya awali vya uchunguzi wa kifaa cha kunakili data za ndege kwa kiingereza Blackbox.

Kwa mujibu wa taarifa ya mmoja wa wachunguzi kuna mfanano mkubwa baina ya jinsi ajali hiyo ilivyotokea  na ile iliyohusisha ndege sawa na hiyo ya 737-8-Max  mwaka uliopita nchini Indonesia.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics