×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Uhuru Kenyatta na wa Somalia Mohamed Farmaajo wamefanya mazungumzo kuhusu kunadiwa kwa maeneo ya bahari

Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Somalia Mohamed Farmaajo ,wamefanya mazungumzo kuhusu mzozo wa kunadiwa kwa maeneo ya bahari yaliyo mkapani pa Kenya na Somalia. Mkutano huo umeongozwa na Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed hapa jijini  Nairobi.

Kwenye ujumbe wake katika mtandao wa kijamii wa twiter baada ya mazungumzo hayo, Abiy amesema mataifa haya mawili yameafikiana kushughulikia mzozo wa kidiplomasia .Ahmed Aby amesema wawili hao wanatarajiwa kuendeleza mazungumzo muhimu ili kukuza umoja wa kieneo ,amani,usalama  na  maendeleo. Juma lililopita Abiy, aliongoza mikutano miwili tofauti ya kidiplomasia na Kenyatta na Farmaajo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in