Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Uhuru Kenyatta na wa Somalia Mohamed Farmaajo wamefanya mazungumzo kuhusu kunadiwa kwa maeneo ya bahari

Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Somalia Mohamed Farmaajo ,wamefanya mazungumzo kuhusu mzozo wa kunadiwa kwa maeneo ya bahari yaliyo mkapani pa Kenya na Somalia. Mkutano huo umeongozwa na Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed hapa jijini  Nairobi.

Kwenye ujumbe wake katika mtandao wa kijamii wa twiter baada ya mazungumzo hayo, Abiy amesema mataifa haya mawili yameafikiana kushughulikia mzozo wa kidiplomasia .Ahmed Aby amesema wawili hao wanatarajiwa kuendeleza mazungumzo muhimu ili kukuza umoja wa kieneo ,amani,usalama  na  maendeleo. Juma lililopita Abiy, aliongoza mikutano miwili tofauti ya kidiplomasia na Kenyatta na Farmaajo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News