The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Somalia Mohamed Farmaajo ,wamefanya mazungumzo kuhusu mzozo wa kunadiwa kwa maeneo ya bahari yaliyo mkapani pa Kenya na Somalia. Mkutano huo umeongozwa na Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed hapa jijini Nairobi.
Kwenye ujumbe wake katika mtandao wa kijamii wa twiter baada ya mazungumzo hayo, Abiy amesema mataifa haya mawili yameafikiana kushughulikia mzozo wa kidiplomasia .Ahmed Aby amesema wawili hao wanatarajiwa kuendeleza mazungumzo muhimu ili kukuza umoja wa kieneo ,amani,usalama na maendeleo. Juma lililopita Abiy, aliongoza mikutano miwili tofauti ya kidiplomasia na Kenyatta na Farmaajo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.