×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Waziri Amina aanza rasmi majukumu katika Wizara ya Michezo

Waziri mpya wa Michezo, Tamaduni na Turathi Balozi Amina Mohammed asubuhi hii amechukua rasmi wadhifa huo kutoka kwa mtangulizi wake Rashid Echesa. Hafla ya kumkabidhi mamlaka imefanyika katika makao makuu ya wizara hiyo kwenye jumba la Kencom, mjini Nairobi.

Ikumbukwe Echesa alisimamishwa kazi na Rais Uhuru Kenyatta wakati alipofanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri Ijumaa wiki iliyopita. George Magoha alichaguliwa kuchukua nafasi ya waziri Amina kwenye Wizara ya Michezo. 

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in