×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mahakama imemwachilia huru Gavana Okoth bado

Mahakama ya Kibera memwachilia huru Gavana wa Migoro Okoth Obado kwa bondi ya shilingi laki tano na mdhamini wa kiasi sawa na hicho au thamana ya shilingi laki mbili pesa taslimu.

Akitoa uamuzi huo, hakimu Joyce  Gandani amefutilia mbali ombi lililowasilishwa na upande wa mashtaka ukitaka Obado aendelee kuzuiliwa kwa siku kumi na tano zaidi ili kuwapa nafasi kukamilisha uchunguzi. Katika uamuzi huo, Obado hata hivyo ameonywa dhidi ya kuwaingilia mashahidi.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in