×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wataalam kuteuliwa kujiunga na vikosi vya polisi

Huduma katika Idara ya Polisi zinaendelea kupigwa jeki kufuatia mipango mipya ambayo imezinduziliwa leo hii.

Sasa Wakenya wataweza kupiga ripoti kuhusu ukosefu wa nidhamu miongoni mwa maafisa wa polisi kwa njia ya kielektroniki bila kujitambulisha. Katika mpango huo mpya, Mkenya yeyote anaweza kutuma ujumbe mfupi kwa nambari 40683 au kupiga simu kwa 0800721230, baada ya hapo atapewa kodi maalum ambapo anaweza kufuatilia malalamiko yake.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Polisi Vikosi