×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwajiri wa Naibu Jaji Mkuu akamatwa

Maafisa wa polisi wamemtia mbaroni mwajiri wa Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu Cosmas Mutua , kufuatia madai ya mwaka jana kuwa alitekwa nyara na watu watatu. Mutua alidai kuwa watu waliomteka nyara walitaka kujua anakoishi Naibu Jaji.

Mkurugenzi wa Idara ya upelelezi DCI, George Kinoti anasema Mutua hakutekwa nyara jinsi anavyodai kwenye taarifa aliyowasilisha katika kituo cha polisi cha Kilimani Novemba 8 mwaka uliopita.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Mwilu Jaji