The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Na Mate Tongola
NAIROBI, KENYA, Aliyekuwa Waziri wa Ugatuzi, Ann Waiguru ametakiwa kutotoa matamshi yoyote kuhusu sakata ya ufujaji wa kima cha shilingi bilioni 1.6 katika Taasisi ya Kitaifa ya Huduma za Vijana, NYS.
Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkuu wa mahakama ya Nairobi David Mburu kufuatia ombi la lililowasilishwa na mmoja wa washukiwa wa sakata hiyo, Paul Kinuthia Kihara ambaye alidai kwamba Waiguru ambaye ametangaza nia ya kuwania ugavana kwenye Kaunti ya Kirinyaghah analitumia suala hilo kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Washukiwa tarkiban 11 wanahusishwa na ufujaji wa fedha za NYS wakati Waiguru alipokuwa Waziri wa Ugatuzi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.