×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Waiguru atakiwa kusalia kimya kuhusu sakata ya NYS


Na Mate Tongola
NAIROBI, KENYA, Aliyekuwa Waziri wa Ugatuzi, Ann Waiguru ametakiwa kutotoa matamshi yoyote kuhusu sakata ya ufujaji wa kima cha shilingi bilioni 1.6 katika Taasisi ya Kitaifa ya Huduma za Vijana, NYS.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkuu wa mahakama ya Nairobi David Mburu kufuatia ombi la lililowasilishwa na mmoja wa washukiwa wa sakata hiyo, Paul Kinuthia Kihara ambaye alidai kwamba Waiguru ambaye ametangaza nia ya kuwania ugavana kwenye Kaunti ya Kirinyaghah analitumia suala hilo kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Washukiwa tarkiban 11 wanahusishwa na ufujaji wa fedha za NYS wakati Waiguru alipokuwa Waziri wa Ugatuzi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Waiguru NYS