×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Jaji ajiondoa katika kesi iliyowasilishwa na CORD

Na, Sophia Chinyezi
Jaji wa Mahakama Kuu, George Odunga amejiondoa katika kesi iliyowasilishwa na muungano wa CORD kuhusu zabuni ya ukaguzi wa sajili ya wapigakura iliyopewa kampuni ya KPMG.

Tume ya Uchaguzi IEBC awali ilimtaka Jaji Odunga kujiondoa katika kesi hiyo kwa kuwa huenda uamuzi wa hivi punde kuhusu zabuni ya uchapishaji ya karatasi za kura, ambayo walipoteza, huenda ukaathiri uamuzi wa kesi hiyo.
Kupitia wakili Wambua Kilonzo, IEBC vilevile imewasilisha ombi jingine la kumtaka jaji huyo kuiwasilisha kesi hiyo kwa Jaji Mkuu ili abuni jopo la kuisikiliza kesi hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

George Odunga IEBC