Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

''Msiwe na wasiwasi kuhusu umiliki wa ardhi zenu'' Serikali yawaambia wakenya

Na Sophia Chinyezi
Serikali imewashauri Wakenya kutokuwa na wasiwasi kuhusu uhalali wa mikopo, idhini ya kumiliki ardhi kwa muda na hati miliki zilizotolewa na serikali ya Jubilee baada ya mwaka 2013, akisema agizo lililotolewa na mahakama hivi majuzi imesitishwa kwa mwaka mmoja.
Waziri wa Ardhi Jacob Kaimenyi amesema ripoti zinazotolewa na vyombo vya habari zina makosa kwa kuwa Mahakama Kuu iliipa serikali mwaka mmoja kuthibitisha hati miliki zote kufuatia ushauri wa Tume ya Ardhi Nchini NLC, maoni ya wananchi na idhini ya Bunge, ili zifanywe kuendeana na sheria.
Kadhalika Kaimenyi amesema wamebuni jopokazi kuangazia kanuni zilizopo kwa muda wa miezi miwili, ambapo marekebisho ya sheria za ardhi iliyofanyiwa marekebisho itakapotekelezwa, ilivyoagizwa na mahakama.
Vilevile ameuhakikishia umma kwamba wizara yake itahakikisha kwamba sheria zilizopo zinakamilishwa na kuwasilishwa Bungeni ili kudihiniswa katika kipindi kilichotolewa na mahakama ili kuzuia vyeti hivyo kufutiliwa mbali.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News