Na Sophia Chinyezi
Kamanda wa Polisi Kaunti ya Elgeyo Marakwet Sharif Abdallah amehamishwa kufuatia mapigano baina ya jamii hasimu ambayo yamesababisha vifo vya watu sita na wengine kuachwa bila makao. Kamanda mpya wa polisi eneo hilo ni Tom Odera wa Kajiado.