×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now

Taaluma Ya Ushauri

Kuna shaka kuu  kwamba ushauri na mawaidha yanayotolewa kwa wakenya kote nchini kupitia mitandao, stesheni za redio na simu za rununu huenda haitatui shida au matatizo yanayowazonga raia hususan matatizo ya kuzongwa na fikra.Hadi sasa wakenya wengi hutazamia aidha kupata mawaidha kupitia vipindi tofauti au ujumbe wa simu za rununu au kwa marafiki badala ya kuwasiliana na wataalam katika taaluma ya ushauri kwa kimombo counselling. Je nia kuu ya mbinu hizi mpya za ushauri ni biashara au kuwasaidia walio na matatizo?

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Taaluma Ya Ushauri