Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Wabunge wa Muranga waunga mkono mradi wa maji huku wanaharakati wakitaka usitishwe

Na Suleiman Yeri
Wabunge wa Kaunti ya Murang'a wameunga mkono mradi wa ukusanyaji na usambazaji maji ulio kwenye kauti hiyo kwa sharti kuwa ni lazima maeneo bunge yote yapate maji kupitia mradi huo.
Wabunge hao wametoa uamuzi huo baada ya kufanya mkutano na Waziri wa Maji, Eugene Wamalwa ulioandaliwa Jumatatu jijini Nairobi.
Huku hayo yakijiri wanaharakati wawili wameelekea mahakamani kutaka agizo la kusitisha mradi huo.
Wawili hao Okiya Omtatah na Florence Kanyua wameishtaki Bodi ya Huduma za Maji ya Athi na maafisa wengine wakuu kwa kutoa zabuni kisiri kwa kampuni ya China State Corporation kuendeleza mradi huo.
Wanaharakati hao wanadai kuwa zabuni hiyo ilitolewa kinyume na sheria na kandarasi ya mradi huo inayostahili kuanza wiki ijayo ilitiwa saini kisiri.
Hata hivyo Jaji wa Mahakma Kuu Joseph Onguto ametaka wote waliotjwa kwenye malalamishi hayo kufika mahakamani tarehe 26 mwezi huu kwa maelekezo zaidi. Jaji Onguto aidha amewataka wanaharakati hao kuwasilisha nakala zaidi kuimarisha ushahidi wao.
 

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News