Serikali yaanza kutoa chanjo dhidi ya yellow Fever

Serikali imeanza rasmi kutoa chanjo dhidi ya homa ya manjano yaani yellow Fevor kwa wakazi wa Kaunti ya Isiolo na Garissa.

Wizara ya Afya imezindua kampeni hiyo leo hii  huku ikilenga hasa maeneo la Merti na Garbatula kwenye Kaunti ya Isiolo na Lagdera, Balambala katika Kaunti ya Garissa ambapo takriban  watu elfu mia saba wanatarajiwa kuchanjwa.

Get the Full Story Now. Become a Standard INSiDER
Get Trusted News for Only Ksh99 a Week

Subscribe Today & Save!

  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
Already a subscriber? Log in