×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali yaanza kutoa chanjo dhidi ya yellow Fever

Serikali imeanza rasmi kutoa chanjo dhidi ya homa ya manjano yaani yellow Fevor kwa wakazi wa Kaunti ya Isiolo na Garissa.

Wizara ya Afya imezindua kampeni hiyo leo hii  huku ikilenga hasa maeneo la Merti na Garbatula kwenye Kaunti ya Isiolo na Lagdera, Balambala katika Kaunti ya Garissa ambapo takriban  watu elfu mia saba wanatarajiwa kuchanjwa.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in