Mrengo wa Naibu wa Rais William Ruto umetoa taarifa kuhusu namna mdahalo wa wagombea wenza wa urais ulivyofanyika wiki hii.
Kupitia taarifa, Mkurugenzi wa Mawasiliano katika kampeni za Ruto Hussein Mohamed amesema kuwa mrengo wao umebainisha kuwa mdahalo huo haikuifanya kipaumbele matakwa ya umma.