×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Knec kweli yanguruma!

Knec imeorodhesha mikakati kemkem ya kudhibiti wizi wa mitihani ya kitaifa ili kulirejeshea baraza hilo hadhi inayostahili  Picha:Hisani

Anasema mwimbaji maarufu kutoka nchini Tanzania, Mrisho Mpoto, kuwa ukikanyagwa maksudi kwenye sherehe ya harusi huambiwi pole, lakini kwenye tafrija za matanga huambiwa samahani!

Kauli hiyo hapo juu yaendana sambamba na jinsi hali ilivyokuwa nchini Kenya mwaka jana, punde tu baada ya kutangazwa matokeo ya mtihani wa taifa wa darasa la nane, KCPE, sawia na matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha nne, KCSE.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in