Accident in Machakos

Watu watatu wamefariki papo hapo huku wengine wakijeruhiwa kufuatia ajali ya iliyotokea katika barabara kuu ya kutoka mjini Machakos kuelekea Nairobi. Waliofariki wametajwa kama walimu waliokuwa wakitoka kusahihisha mtihani mjini Machakos.

Related Topics

Accident in Machakos