The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Watu watatu wamefariki papo hapo huku wengine wakijeruhiwa kufuatia ajali ya iliyotokea katika barabara kuu ya kutoka mjini Machakos kuelekea Nairobi. Waliofariki wametajwa kama walimu waliokuwa wakitoka kusahihisha mtihani mjini Machakos.