Religious leaders, unesco on HIV

1.   ----------vcrs------------damaris

Shirika la umoja wa mataifa la unesco limependekeza kuanzishwa kwa somo maalum litakalo toa mafunzo kuhusiana na ukimwi na jinsi ya kujikinga na maambukizi ya maradhi hayo . Mradi huu unaolenga  wanafunzi katika shule za msingi na za upili utatumika kama njia mojawapo ya kuzuia kuenea kwa maambukizi ya ukimwi. Wakati huo huo viongozi wa kidini wameamua kuchukua jukumu la kutoa elimu na mafunzo kwa waumini wao , kuhusiana na janga la ukimwi.