Wapiga kura walijitokeza mapema hii leo na kushiriki kwenye shughuli ya
kupiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa kitutu masaba huku madai ya
ununuzi wa kura yakijitokeza. Kwenye shughuli hiyo aliyekuwa mbunge wa
mugirango kusini omingo magara alidungwa kisu na kujeruhiwa. Frank
Otieno na maelezo zaidi
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted