×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mbooni accident followup - swahili

Eneo zima la kawethei lililoko eneo bunge la kangundo lipo katika hali ya kuomboleza vifo vya watu ishirini na saba waliofariki katika ajali ya barabarani huko mbooni, taswira ni kwamba kila boma eneo hilo limefiwa na lile ambalo halijafiwa linaomboleza kifo cha jirani. Mbunge wa kangundo johnston muthama ameahidi kuongoza kamati itakayosomamia gharama ya mazishi ya waliofariki. Na kama damaris kitavi anavyotuelezea, wenyeji wako na wakati mgumu kukabiliana na ukweli wa vifo vya ishirini na saba hao, wote walio na uhusiano kwa njia moja au nyingine.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Mbooni accident