Gender balance row -Swahili

Wabunge wanawake wameapa kuuangusha mswada wa uchaguzi bungeni, endapo baraza la mawaziri litarekebisha kipengee cha kuondoa kipengee kinachowatengea wanawake thuluthi moja ya viti vya ubunge katika katiba. Utata huu ulianza jana baada ya mkutano wa mawaziri uliongozwa na raisi mwai kibaki na kuamua kwamba kipengee hicho hakiwezi kutimizwa. Wanawake leo wamezungumza kwa sauti moja wakiapa hawatakaa kimya na kuona gurudumu la haki za wanawake likirejeshwa nyuma.