Serikali za Kaunti 2

Katika muundo mpya wa serikali za Kaunti, asilimia 15 ya mapato ya nchi yatatengewa shughuli za kaunti. Hata hivyo kabla ya yote hayo patabuniwa hazina nyengine ya kusawazisha maendeleo kote nchini, maeneo yaliyosalia nyuma kimaendeleo yakipewa kipau mbele ili kufikia viwango vya maendeleo kitaifa. Katika sehemu ya pili ya makala serikali za kaunti, tunaangazia jinsi mapato yatasambazwa kwenye serikali hizi, na matumaini ya kuimarika kwa miundo misingi kwenye maeneo husika.. Esther Kahumbi na taarifa kamili.

Related Topics

Serikali za Kaunti 2