Kisii/Kipsigis peace initiative

Jamii zinazoishi katika mpaka wa Transmara na mkoa wa Gucha sasa zimeanzisha mradi wa upanzi wa majani chai utakaoleta amani baina ya jamii la wakisii na ile ya wakipsigis. Jamii hizo ambazo zimezozana kila kuchapo wanatarajiwa kujenga uhusiano mwema baina yao kupitia kufanya kazi pamoja