Karate story by Hassan

Timu ya karate imekuwa na msururu wa matokoe duni miaka ya awali.hata hivyo huenda sasa mambo yanageuka kwa timu hii kwani wamepata mafunzo kutoka kwa kocha kutoka Afrika Kusini Jody Young kuhimili dau na la msingi ni wadhamini kujitokeza na serikali kukaza kamba na huenda timu hii ikamudu mashindano ya bara Afrika mwezi wa tisa. Hassan Jumaa alizuru kambi ya timu hii na kuandaa taarifa ifuatayo.