×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Jazan house girl’s dilema

Familia moja mjini Mombasa inakoseshwa usingizi na kutojua hali ya mtoto wao msichana wa umri wa miaka ishirini na sita, ambaye anaaminika kushikwa mateka na mwajiri katika mji wa Jazan huko Uarabuni. Kinachosikitisha zaidi ni kwamba hawajui hali ya mwanao, ambaye mara ya mwisho walipozungumza naye, alidai hajala wala kunywa kwa siku tatu baada ya mwajiri wake kumrusha nje.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in