Protecting boy child

Kwamiaka mingi sasa kila mbiu ya mgambo inapopigwa huitikwa kuwatetea watoto wa kike,na vijana kuachwa kandoni mwa dau hili la elimu hasa ya kijinsia. Lakini sasa inaibuka mitaani na katika vyombo vya habari kwamba visha vya dhulma ya kingono dhidi ya watoto wa kiume inakithiri.mwanahabari wetu saida swaleh alizungumza na familia moja huko pwani ili kufichua ni kwa nini wazazi wa sehemu za pwani na nyinginezo wanawahofia maslahi ya wana wao wa kiume na kututayarishia makala haya.

Related Topics

Protecting boy child