Trans-Nzoia IDPs row

Pingamizi kuhusu mpango wa serikali wa kutaka kuwapa wakimbizi kutoka rongai - nakuru ardhi eneo la kitale zingali zikiiibuka, huku jamii zinazoishi maeneo ambapo wakimbizi wamepewa ardhi zikitaka wakimbizi na maskwota wao wapewe kipao mbele katika kupewa ardhi. Hii ni licha ya viongozi wa kidini kuingilia kati kujaribu kutuliza hamaki za wenyeji ili suluhu iafikiwe.