×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Death at kakamega mines - swahili

Watu watatu walifariki huku wengine watatu wakinusurika kifo  baada ya maji kufunika mgodi wao eneo la kakamega. Wachimbaji hao wa dhahabu katika migodi ya rosterman walikumbwa na mkasa huo baada ya mto mmoja ulio karibu na mgodi wao kuvunja kingo zake na kufunika mgodi huo. Juhudi za maafisa wa idara ya kushughulikia mikasa ya manispaa ya kakamega kuwaokoa walionaswa katika mgodi huo hazikufua dafu kwani waliwasili katika eneo la mkasa bila ya vifaa vinavyohitajika
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in