×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

G7 2012 calculations

Ajenda watakayoinadi kwa wakenya kuingia ikulu ifikapo mwaka wa 2012 ndio changamoto kuu inayoukabili muungano mpya unaojiita g7 na kuwaleta pamoja uhuru kenyatta, william ruto, kalonzo musyoka, eugene wamalwa na najib balala. Wajuzi wa mambo ya kisiasa wanasema kuwa iwapo hawatobadili mkondo wa kutumia fimbo ya icc na vita dhidi ya waziri mkuu raila odinga ....g7 inatishia kuingia katika kaburi la sahau kabla ya kinyanganyiro cha agosti mwaka ujao.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

G7 2012