Bungoma neglected school - swahili

Ni hivi majuzi tu ambapo ktn iliangazia shule moja huko bungoma na kuibua maswala kuhusu utumizi wa cdf eneo bunge la webuye, lakini leo ni afueni kwa wanafunzi hao kwa mbunge wao kufika hapo ambaye pia alitamaushwa na hali aliyoiona … na kumpelekea  yeye kuvunjilia mbali kamati hiyo na kuahidi usaidizi wa kima cha milioni mbili ili madarasa ya shule hiyo yaweze kujengwa