SONKO Alala Tena Gerezani

Mbunge wa Makadara Mike Mbuvi marufu kama sonko  hii leo atalala tena rumande baada ya kushindwa kuopata dhamana iliitishwa na mahakama .Sonko alifikishwa mahakamni kujibu mashtaka ya ulaghai na kutoweka katika jela ya kamiti ikiwemo kukwepa kulipa  dhamana . Hakimu wa mahakama  ya kibera alimtoza Sonko thamana ya shilingi laki tano katika kesi ya ulaghai na uthamini wa laki tatu na lile shtaka la  kuilaghai kampuni ya tile  and  carpet alitozwa thamana ya shilingi milioni moja. Kesi ya Sonko kutoweka gerezani itasikizwa leo mchana