Mbunge wa Makadara Mike Mbuvi marufu kama sonko hii leo atalala tena rumande baada ya kushindwa kuopata dhamana iliitishwa na mahakama .Sonko alifikishwa mahakamni kujibu mashtaka ya ulaghai na kutoweka katika jela ya kamiti ikiwemo kukwepa kulipa dhamana . Hakimu wa mahakama ya kibera alimtoza Sonko thamana ya shilingi laki tano katika kesi ya ulaghai na uthamini wa laki tatu na lile shtaka la kuilaghai kampuni ya tile and carpet alitozwa thamana ya shilingi milioni moja. Kesi ya Sonko kutoweka gerezani itasikizwa leo mchana